Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
102.Surat At-Takaathur

Imeshuka Makka Ina aya 8
Utangulizi Orodha ya Sura Faharasa


KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0



1. Kumekushughulisheni kutafuta wingi, 1



2Mpaka mje makaburini!
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua! 3



4. Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua! 4



5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini, 5



6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu! 6



7. Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini. 7



8. Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema. 8


Sura Nyingine Faharasa

Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani