102.Surat At-Takaathur |
Imeshuka Makka | Ina aya 8 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Kumekushughulisheni kutafuta wingi,
1
2Mpaka mje makaburini!
3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
3
4. Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
4
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
5
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
6
7. Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
7
8. Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.
8
Sura Nyingine | Faharasa |