103.Surat Al-A's'r |
Imeshuka Makka | Ina aya 3 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Naapa kwa Zama!
1
2. Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
2
3. Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki,
na wakausiana kusubiri.
3
Sura Nyingine | Faharasa |