107.Surat Al-Maau'n |
Imeshuka Makka | Ina aya 7 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo?
1
2. Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
2
3. Wala hahimizi kumlisha masikini.
3
4. Basi, ole wao wanao sali,
4
5. Ambao wanapuuza Sala zao;
5
6. Ambao wanajionyesha,
6
7. Nao huku wanazuia msaada.
7
Sura Nyingine | Faharasa |