Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
1.Surat AnNas'r

Imeshuka Madina Ina aya 3
Utangulizi Orodha ya Sura Faharasa


KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0



1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, 1



2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, 2



3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. 3


Sura Nyingine Faharasa

Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani