1.Surat AnNas'r |
Imeshuka Madina | Ina aya 3 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
1
2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
2
3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye
ndiye anaye pokea toba.
3
Sura Nyingine | Faharasa |