1.Surat Al-Masad |
Imeshuka Makka | Ina aya 5 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
1
2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
2
3. Atauingia Moto wenye mwako.
3
4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
4
5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
5
Sura Nyingine | Faharasa |