114.Surat AnNas |
Imeshuka Makka | Ina aya 6 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
1
2. Mfalme wa wanaadamu,
2
3. Mungu wa wanaadamu,
3
4. Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
4
5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
5
6. Kutokana na majini na wanaadamu.
6
Sura Nyingine | Faharasa |