97.Surat Al-Qadr |
Imeshuka Makka | Ina aya 5 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku
wa Cheo Kitukufu.
1
2. Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri?
2
3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
3
4. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola
wao Mlezi kwa kila jambo.
4
5. Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri.
5
Sura Nyingine | Faharasa |