102.Surat At-Takaathur |
Imeshuka Makka | Ina aya 8 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Kumekushughulisheni kutafuta wingi, 1
2Mpaka mje makaburini! 3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua! 3
4. Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua! 4
5. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini, 5
6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu! 6
7. Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini. 7
8. Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema. 8
Sura Nyingine | Faharasa |