107.Surat Al-Maau'n |
Imeshuka Makka | Ina aya 7 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Je! Umemwona anaye kadhibisha Malipo? 1
2. Huyo ndiye anaye msukuma yatima, 2
3. Wala hahimizi kumlisha masikini. 3
4. Basi, ole wao wanao sali, 4
5. Ambao wanapuuza Sala zao; 5
6. Ambao wanajionyesha, 6
7. Nao huku wanazuia msaada. 7
Sura Nyingine | Faharasa |