94.Surat Ash-Sharh' |
Imeshuka Makka | Ina aya 8 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. 1. Hatukukunjulia kifua chako? 1
2. Na tukakuondolea mzigo wako, 2
3. Ulio vunja mgongo wako? 3
4. Na tukakunyanyulia utajo wako? 4
5. Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi, 5
6. Hakika pamoja na uzito upo wepesi. 6
7. Na ukipata faragha, fanya juhudi. 7
8. Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie. 8
Sura Nyingine | Faharasa |