97.Surat Al-Qadr |
Imeshuka Makka | Ina aya 5 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu. 1
2. Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri? 2
3. Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu. 3
4. Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo. 4
5. Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri. 5
Sura Nyingine | Faharasa |