Al Quraish Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
106.Surat Quraish

Imeshuka Makka Ina aya 4
Utangulizi Orodha ya Sura Faharasa

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


1. Kwa walivyo zoea Maqureshi, 1


2. Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto. 2


3. Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii, 3


4. Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu. 4


Sura Nyingine Faharasa

Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani