114.Surat AnNas |
Imeshuka Makka | Ina aya 6 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, 1
2. Mfalme wa wanaadamu, 2
3. Mungu wa wanaadamu, 3
4. Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, 4
5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, 5
6. Kutokana na majini na wanaadamu. 6
Sura Nyingine | Faharasa |