101.Surat Al-Qaaria'h |
Imeshuka Makka | Ina aya 11 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Inayo gonga!
1
2. Nini Inayo gonga?
2
3. Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
3
4. Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
4
5. Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
5
6. Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
6
7. Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
7
8. Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
8
9. Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
9
10. Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
10
11. Ni Moto mkali!
11
Sura Nyingine | Faharasa |