| 104.Surat Al-Humazah |
| Imeshuka Makka | Ina aya 9 |
| Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Ole wake kila safihi, msengenyaji!
1

2. Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
2

3. Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
3

4. Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
4

5. Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
5

6. Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
6

7. Ambao unapanda nyoyoni.
7

8. Hakika huo utafungiwa nao
8

9. Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
9
| Sura Nyingine | Faharasa |