104.Surat Al-Humazah |
Imeshuka Makka | Ina aya 9 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Ole wake kila safihi, msengenyaji!
1
2. Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
2
3. Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
3
4. Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
4
5. Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
5
6. Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
6
7. Ambao unapanda nyoyoni.
7
8. Hakika huo utafungiwa nao
8
9. Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
9
Sura Nyingine | Faharasa |