106.Surat Quraish |
Imeshuka Makka | Ina aya 4 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Kwa walivyo zoea Maqureshi,
1
2. Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
2
3. Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
3
4. Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
4
Sura Nyingine | Faharasa |