| 106.Surat Quraish |
| Imeshuka Makka | Ina aya 4 |
| Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Kwa walivyo zoea Maqureshi,
1

2. Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
2

3. Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
3

4. Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
4
| Sura Nyingine | Faharasa |