Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
108.Surat al-Kawthar

Imeshuka Makka Ina aya 3
Utangulizi Orodha ya Sura Faharasa


KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0



1. Hakika tumekupa kheri nyingi. 1



2. Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi. 2



3. Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu. 3


Sura Nyingine Faharasa

Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani