| 1.Surat AnNas'r |
| Imeshuka Madina | Ina aya 3 |
| Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
1

2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
2

3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye
ndiye anaye pokea toba.
3
| Sura Nyingine | Faharasa |