| 113.Surat Al-Falaq |
| Imeshuka Makka | Ina aya 5 |
| Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
1

2. Na shari ya alivyo viumba,
2

3. Na shari ya giza la usiku liingiapo,
3

4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
4

5. Na shari ya hasidi anapo husudu.
5
| Sura Nyingine | Faharasa |