Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
113.Surat Al-Falaq

Imeshuka Makka Ina aya 5
Utangulizi Orodha ya Sura Faharasa


KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0



1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, 1



2. Na shari ya alivyo viumba, 2



3. Na shari ya giza la usiku liingiapo, 3



4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni, 4



5. Na shari ya hasidi anapo husudu. 5


Sura Nyingine Faharasa

Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani