113.Surat Al-Falaq |
Imeshuka Makka | Ina aya 5 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,
1
2. Na shari ya alivyo viumba,
2
3. Na shari ya giza la usiku liingiapo,
3
4. Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
4
5. Na shari ya hasidi anapo husudu.
5
Sura Nyingine | Faharasa |