| 114.Surat AnNas |
| Imeshuka Makka | Ina aya 6 |
| Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
1

2. Mfalme wa wanaadamu,
2

3. Mungu wa wanaadamu,
3

4. Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
4

5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
5

6. Kutokana na majini na wanaadamu.
6
| Sura Nyingine | Faharasa |