94.Surat Ash-Sharh' |
Imeshuka Makka | Ina aya 8 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. 1. Hatukukunjulia kifua chako?
1
2. Na tukakuondolea mzigo wako,
2
3. Ulio vunja mgongo wako?
3
4. Na tukakunyanyulia utajo wako?
4
5. Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
5
6. Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
6
7. Na ukipata faragha, fanya juhudi.
7
8. Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.
8
Sura Nyingine | Faharasa |