| 94.Surat Ash-Sharh' |
| Imeshuka Makka | Ina aya 8 |
| Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. 1. Hatukukunjulia kifua chako?
1

2. Na tukakuondolea mzigo wako,
2

3. Ulio vunja mgongo wako?
3

4. Na tukakunyanyulia utajo wako?
4

5. Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
5

6. Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
6

7. Na ukipata faragha, fanya juhudi.
7

8. Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.
8
| Sura Nyingine | Faharasa |