99.Surat Az-Zilzalah |
Imeshuka Madina | Ina aya 8 |
Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!
1
2. Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
2
3. Na mtu akasema: Ina nini?
3
4. Siku hiyo itahadithia khabari zake.
4
5. Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!
6. Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
6
7. Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
7
8. Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!
8
Sura Nyingine | Faharasa |