Kwa jina la Mwenyeezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu
Maelezo: Suuratul Lahab

Utangulizi:

Rudi kwenye sura

* 1. Imeteketea mikono ya Abu Lahab iliyo kuwa ikiwaudhi Waislamu, na yeye mwenyewe amehiliki pia.
Rudi kwenye sura

* 2. Hayatolindwa na adhabu ya Mwenyezi Mungu mali yake aliyo kuwa nayo, wala cheo chake alicho kichuma.
Rudi kwenye sura

* 3. Ataingia katika Moto unao waka, aungue.
Rudi kwenye sura

* 4. Na ataingia pia kwenye Moto mkewe huyo aliye kuwa akibeba masengenyo baina ya watu, kama alivyo ingia yeye (mumewe).
Rudi kwenye sura

* 5. Juu ya shingo yake itakuwa kamba ya mtende ya kumtesa.
Rudi kwenye sura

Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani