| 1.Surat Al-Masad |
| Imeshuka Makka | Ina aya 5 |
| Utangulizi | Sura Nyingine | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
1

2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
2

3. Atauingia Moto wenye mwako.
3

4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
4

5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
5
| Sura Nyingine | Faharasa |