Al Fatha Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
1.Suurat al-Faatih'a

Imeshuka Makka Ina aya 7
Utangulizi Orodha ya Sura Faharasa

1. KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 1


2. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; 2


3. Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu; 3


4. Mwenye kumiliki siku ya malipo. 4


5. Wewe tu tunakuabudu, na wewe tu tunakuomba msaada. 5


6. Tuongoe njia iliyonyooka. 6


7. Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea. 7


Sura Nyingine Faharasa
Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani