Al Masad Tarjuma ya Quran Tukufu kwa kiswahili
1.Surat Al-Masad

Imeshuka Makka Ina aya 5
Utangulizi Sura Nyingine Faharasa

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia. 1


2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma. 2


3. Atauingia Moto wenye mwako. 3


4. Na mkewe, mchukuzi wa kuni, 4


5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa. 5


Sura Nyingine Faharasa

Chagua Sura Nyingine:

Imetarjumiwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani