| 1.Surat Al-Kafirun |
| Imeshuka Makka | Ina aya 6 |
| Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0

1. Sema: Enyi makafiri!
1

2. Siabudu mnacho kiabudu;
2

3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
3

4. Wala sitaabudu mnacho abudu.
4

5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
5

6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
6
| Sura Nyingine | Faharasa |