1.Surat Al-Kafirun |
Imeshuka Makka | Ina aya 6 |
Utangulizi | Orodha ya Sura | Faharasa |
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
0
1. Sema: Enyi makafiri!
1
2. Siabudu mnacho kiabudu;
2
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
3
4. Wala sitaabudu mnacho abudu.
4
5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
5
6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
6
Sura Nyingine | Faharasa |