FAHARASA J-L  

"FAHARASA"


A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


J

  • Jahannam, Motoni, adhabu zake, 4:56; 7:48, 7:51; 11:119; 14:16-17, 14:49-50; 22:19-22; 25:11-14; 25:55; 36:63; 37:62-67; 38:55-58; 39:71-72; 40:47-50; 43:74; 44:43-48; 56:52-55; 67:6-8; 69:30-37; 74:26-29; 74:30-31; 78:21-25; 87:13;
  • Jaluti, 2:249-251;
  • Jamaa, haqi zao, 2:83, 2:177; 4:7-9, 4:36; 8:41; 16:90; 17:26; 24:22; 42:23;
  • Jibrili, 2:97, 2:98; 26:193; 66:4; 81:19-21;
  • Jihadi, 2:218; 3:142; 4:95; 5:35, 5:54; 8:72, 8:74-75; 9:16-20, 9:41-42, 9:44, 9:73, 9:86; 16:110; 22:78; 25:52; 29:69; 47:31;49:15; 61:11; 66:9;
  • Jozi, (viwili-viwili) vimeumbwa viumbe vyote, 13:3; 31:10; 36:36; 42:11; 43:12; 51:49; 53:45;
  • Judi, Mlima, 11:44;
  • Jukumu, kila mtu na lake mwenyewe, 6:164; 10:30; 14:51; 53:38-41

  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    K

  • Kaa'ba, hapana ruhusa kuuwa wanyama mwitu, 5:94-96;

  •     ilijengwa na Ibrahim, 2:125-127;
        makimbilio ya amani kwa watu, 5:97;
  • Kalamu, 68:1; 96:4-5;
  • Kamari, 2:219; 5:90;
  • Khalifa, 2:30;
  • Khandaki, Vita vya, 24:55; 33:9-11;
  • Khasara (ya kiroho), 39:15;
  • Khitilafu, kukata shauri ni kwa Mwenyezi Mungu, 42:10;
  • Khitilafu za ndimi na rangi, 30:22;
  • Khofu, hawana walio wema, 2:38;

  •     katika Ishara za Mwenyezi Mungu, 17:59;
        kuwa sababu ya kuongoka, 2:74; 39:16;
        wala kwa wanao simama imara na Mwenyezi Mungu, 46:13;
        wala wanao amini wakatengenea, 6:48; 7:35;
        wala kwa waja wat'iifu, 43:68;
        wala marafiki wa Mwenyezi Mungu, 10:62;
        wala walio nyenyekea kwa Mwenyezi Mungu, 2:112;
        wala wanao amini wakatenda mema, 2:277; 5:69;
        wala wanao toa kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, 46:13;
        wala Waumini, 2:62;
  • Kichaka, Watu wa, 15:78; 26:176-191;
  • Kitabu, (Qur'ani) Nuru na Uwongofu, 5:15-16;

  •     (Qur'ani) aya za msingi na mifano, 3:7;
        (Ufunuo), ni uwongofu wa kweli, 2:2;
        cha kusomwa, 2:121;
        katika usiku ulio barikiwa, 44:3-4;
        kilicho toka kwa Mwenyezi Mungu, 46:2;
        kwa kila muda, au zama, 13:38;
        Msingi wa Kitabu, 3:7; 13:39; 43:4;
        Watu wa Kitabu, 3:64-80, 3:98-99, 3:113-115, 3:187, 3:199; 4:47, 4:153-161;
        maombi kwa Watu wa Kitabu, 5:59-60, 5:68;
        unaafiqi wao, 5:61-63;
        wanajua lakini wanakataa kuamini, 6:20;
        wangesamehewa lau wangelifuata maamrisho yao, 5:66;
  • Kitabu cha matendo, 18:49; 36:12; 54:52-53;
  • Kivuli, 25:45;
  • "Kuacha kupotea", 14:4; 16:93; 39:23;
  • Kuandika, mikataba, 2:282;
  • Kucha Mungu, (Kumwogopa) amri kwa Watu wa Kitabu na Waislamu, 4:131;

  •     bila ya kumwona, 67:12;
        kama anavyo stahiki, 3:102
        kuogopa asiudhike, 70:27;
        na uwongofu, 47:17;
        ni nini, 2:2-5;
  • Kufru kubwa kuzua kuwa Mwenyezi Mungu ana mwana, 19:88-92;
  • Kufufuliwa, 16:38-40; 17:49-52; 19:66-72; 22:5; 46:33-34; 50:3, 50:20-29, 50:41-44; 75:1-15; 79:10-12; 86:5-8;
  • Kufunga s'aumu, 2:184-185, 2:187;
  • Kugawa sadaqa, 2:177;
  • Kuhishimiana, 4:86; 24:27-31; 33: 53; 58:11;
  • Kukata tamaa hakutakiwi, 3:139, 3:146;

  •     si katika Rehema za Mwenyezi Mungu, 39:53;
  • Kula, 5:66; 77:43, 77:46;
  • Kulipiza kisasi hakupendekezwi, 5:45;
  • Kuogopa watu, 4:77;
  • Kupigana, ikatike fitina, 8:39;

  •     katika mwezi ulio harimishwa, 2:217;
        katika Njia ya Mwenyezi Mungu, 2:190-193; 4:84;
        kumeamrishwa, 2:216; 2:244;
        kunaruhusiwa kwa wanao dhulumiwa, 22:39-41;
        kuudhuriwa wasipigane, 48:17;
        kwa dhati, 9:123;
        kwa sababu ya Mwenyezi Mungu na wanyonge wanao kandamizwa, 4:74-76;
        kwa Wana wa Israili, 2:246-251;
    lini, na mpaka lini? 47:4;
        na wasio amini na wanakataa kufuata Haqi, 9:29;
        na wenye nguvu zaidi, 8:65;
        na wenye nyoyo za woga, 47:20;
  • Kupita kiasi kunakatazwa, katika chakula, 5:87;

  •     katika dini, 4:171; 5:77-81;
  • Kushauriana, 42:38;
  • Kutangaza uovu, 4:148;
  • Kutawadha, 4:43;
  • Kutoroka vitani, 4:89-91;
  • Kuumba, binaadamu, 23:12-14;

  •     kupya, 13:5; 14:48; 17:49, 17:98; 21:104; 35:16;
        kwa kwanza na kurejea tena, 10:4; 27: 64; 29:19-20;
        kwa makusudio ya haqi, 15:85; 16:3; 44:39; 45:22; 46:3;
        kwa vipimo vya haqi, 39:5;
        makusudio ya, 51:56-58;
        mbingu na ardhi ni kukubwa kuliko kumuumba binaadamu, 40:57; 79:27;
        mnamo Siku Sita, 7:54; 32:4; 57:4;
        Mwenyezi Mungu huamrisha: "Kuwa" na huwa, 2:117; 16:40; 36:82; 40:68; 54:50;
        namna mbali mbali, 35:27-28;
        si kwa mchezo, 21:16-17;
        viumbe vyote vinamt'ii Mwenyezi Mungu, 16:48-50;
  • Kuzingwa Madina, 33:9-27;
  • Kweli, 23:70-71, 23:90;

  •     wanao kataa, 77:1-50; 98:1-6;
     

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    L

  • Lulu, zilizo hifadhiwa, 52:24; 56:23;
  • Luqman, 31:12-19;
  • Lut'i, 6:86; 7:80-84; 11:77-83; 15:57-77; 21:74-75; 26:160-175; 27:54-58; 29:26, 29:28-35; 37:133-138; 51:31-37; 54:33-39; mkewe mkhalifu, 11:81; 15:60; 66:10

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    Orodha ya Sura
    Chagua Sura:
    Faharasa

    Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
    Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani