FAHARASA T-Z  

"FAHARASA"


A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


T

  • T'alaqa, 2:228-232, 2:236-237, 2:241; 4:36;
  • T'aluti, 2:247-249;
  • Tembo (Ndovu), Watu wake, 105:1-5;
  • Thamud, 7:73-79; 11:61-68; 25:38; 26:141-159; 27:45-53; 29:38; 41:17; 51:43-45; 54:23-31; 69:4-8; 85:17-20; 89:9-14; 91:11-15;
  • Toba na kutengenea ndiyo inayo pokewa, 4:54; 42:25;
  • Tubba', 44:37

  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    U

  • U'mra, 2:143-144;
  • U'zair, 9:30;
  • U'zza, 53:19;
  • Uadilifu, 4:58, 4:65, 4:105, 4:135; 7:29; 16:90; 57:25;
  • Ubaya, ukifanyiwa, 42:39-43;
  • Uchoyo, 3:180; 4:32; 57:24;
  • Ufisadi,

  •     nchi kavu na baharini, 30:41;
        wa viumbe, 113:1-5; 114:4-6;
  • Ufunuo,

  •     kwa kupitia Roho takatifu, 16:102-103; 26:192-199;
        kwa Nabii Muhammad s.a.w. na walio mtangulia, 5:48;
        makusudio ya, 7:2, 7:203;
        Neno la kutengua Wema na Uovu, 86:11-14;
        ni nini? 41:2-4, 41:6-8; 69:50-51; 81:15-21;
        shaka shaka zinaondolewa, 2:23;
        ulio futwa au ulio sahauliwa, 2:106;
        uwongofu, 3:73; usiutilie shaka, 6:114; 11:17;
        usomwe na uenezwe, 96:1;
        wa Musa a.s. na Isa a.s., 2:87;
  • Uh'ud, mafunzo yake, 3:121-128, 3:14-18014-18;
  • Uislam, 42:15;

  •     fadhila, 49:17;
        kuwa wa kwanza kusilimu, 6:14, 6:163; 39:12;
        moyo umefunguka kwenye, 39:22;
        wa mbele katika, 9:100;
  • Ulevi, 2:219; 5:90;
  • Umma,

  •     mmoja wa walio wema, 21:92;
        wa Manabii, 23:52-54;
  • Umonaki hautakikani, 57:27;
  • Unadhifu, 4:43; 5:6;
  • Unyenyekevu, 6:42-43; 7:161: 57:16;

  •     vivuli vinamnyenyekea Mwenyezi Mungu, 13:15; 76:14;
  • Uombezi, 6:51, 6:70; 10:3; 19:87; 39:44; 43:86; 53:26;
  • Uovu, 4:51-55, 4:123; 10:27-30; 26:221-226; 42:36-39;

  •     hauna mwisho mwema, 30:10;
        huukhadaa uovu, 59:15-17;
        pinga uovu kwa wema, 13:22; 23:96: 41:34;
        si kitu cha mbali, bali ni dosari ya katika nafsi, 15:15-16;
        unalipwa kwa uadilifu, 6:160;
        unatokana nasi, lakini wema unatoka kwa Mwenyezi Mungu, 4:79;
        unawaghuri watu, 6:71
        utaangamiza Uovu, 19:83;
        Upepo hubashiria kheri, 7:57;58; 15:22; 30:46, 30:48, 30:51;
  • Upunjaji, 83:1-6;
  • Urithi, 2:180, 2:240; 4:7-9, 4:11-12, 4:19, 4:33, 4:176; 5:106-108;
  • Ushahidi,

  •     katika kuusia, 5:106-108;
        katika kuuziana, 2:282-283;
        katika kuwatuhumu wanawake, 24:4-10
  • Ushindi,

  •     faida yake, 48:1-3; 110:1-3;
        kwa msaada wa Mwenyezi Mungu, 61:13;
  • Ushirikina, itikadi za kijinga, 5:103; 6:138-140, 6:143-144;
  • Usiku ni Ishara, 79:29; 92:1; 93:2;
  • Usiku wa Laylatul Qadri, 97:1-5;
  • Usimwogope Shet'ani, 3:175;
  • Usitumie ovyo, 6:141; 7:31;
  • Usiwashutumu miungu ya uwongo, 6:108;
  • Ut'iifu, 3:132; 4:59, 4:64, 4:66, 4:80-81; 5:92; 14:12; 8:20-25, 8:46; 24:51-52, 54; 47:33; 64:11-12;
  • Utulivu, 9:26, 9:40; 47:4, 47:18, 47:26;
  • Uwongo,

  •     unadanganya, 51:8-11;
        unatoweka, 21:18;
  • Uzito na wepesi, (Dhiqi na faraji), 94:5-8;

  •  

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    V

  • Vazi la uchamngu, 7:26;
  • Viapo, 2:224-227; 5:89; 16:94; 24:22, 24:53; 66:2; 68:10;
  • Viumbe vyote

  •       vinamtukuza Mwenyezi Mungu, 24:41-44; 50:6-11;
           vinaonyesha wema wa Mwenyezi Mungu, 78:5-16;
  • Vyeo, kwa mujibu wa vitendo vyema na vibaya, 6:132

  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    W

  • Waajibu wa kutimizwa, 5:1;
  • Waarabu wa jangwani, Mabedui, 9:90-99, 9:101-106; 48:11-12, 48:16; 49:14.
  • Wabadhirifu (watumiao ovyo) walaanika, 17:26-29; 25:67;
  • Wadd, 71:23;
  • Wahajiri, (Wakimbizi, Walio hama), 2:218; 3:195; 4:89, 4:97, 4:100; 8:72, 8:74-75; 9:20, 9:100, 9:117; 16:41, 16:110; 22:58; 24:22; 33:6, 50; 59:8-9; 60:10; 63:7;
  • Waislamu wanaume na wanawake, mwenendo unao stahiki, 33:34-35;
  • Wake za Mtume s.a.w.,

  •     na wanawake Waumini, na wanaume, 33:56-58;
        nani wawe, 33:50-52;
        wahishimiwe, 33:53-55;
        wana jukumu zaidi, 33:28-34;
  • Wakosefu, 23:63-77; 26:200-209; 83:29-36;

  •     mashahidi mbali mbali dhidi yao, 85:3;
        masikio yao, macho na ngozi zitatoa ushahidi, 41:20-23;
  • Wakristo, 2:138-140; 5:14;

  •     wakaribu mno kuwapenda Waislamu, 5:82-85;
        walio kuwa Waislamu, 28:53; 29:47;
        Walio kufa shahidi, si wafu, 2:154; 3:169;
        wamo furahani, 3:170-171;
        wapokea msamaha na rehema, 3:157-158;
        waruzukiwa, 22:58-59;
  • Wana wa kupanga, 33:4-5;
  • Wanaadamu,

  •     hawajali, ijapo kuwa Hisabu imekurubia, 21:1-3;
        taifa moja, 2:213; 10:19;
        umbile Mwenyezi Mungu alilo waumbia watu, 30:30;
        utukufu unategemea uchamngu, 49:13;
        wameumbwa kutokana na jozi moja, 4:1; 39:6; 49:13;
        wanaasi kwa ujeuri, 10:23;
  • Wanaafiqi,

  •     haijuzu kufanya urafiki nao, 58:14-19;
        hawamuamini Mungu wala Akhera, 2:8;
        hufuata maasi, wakaacha Uwongofu wa Wah'yi, wakipatwa na shida hukujia wapate ngawira, 4:70-73;
        hungojea mambo yawe, wanadhani watamshinda Mwenyezi Mungu, wamezugwa, 4:141-143;
        huuza uwongofu kwa upotovu, 2:16;
        katika khofu na kiza, 2:19-20;
        maradhi ndani ya nyoyo zao, 2:10;
        viziwi, mabubu, na vipofu, 2:17-18;
        wamelaanika, hawana Imani, wameritadi, wakamatwe na wauwawe, 4:88-89;
        wana khofu wasitambulikane, 9:64-65;
        wana maneno ya kuvutia, wanaongozwa na ujeuri, 2:204-206;
        wanafahamiana wenyewe kwa wenyewe, wapotovu, laana ya Mwenyezi Mungu imewapata, 9:67-69;
        wanafanya fisadi, 2:11-12;
        wanajidanganya wenyewe, 2:9;
        wanakataa kupigania Haqi, 3:167-168;
        waongo, na huficha maasi yao kwa viapo, 63:1-4;
        waongo na malaghai na woga, 59:11-14;
        wapumbavu na hufanya kejeli, 2:13-15;
        watakuwa chini kabisa huko Motoni, hawatopata wa kuwanusuru, 4:145;
  • Wanawake, 2:222-223; 4:15, 4:19-22, 4:34, 4:127;

  •     kuzuliwa, 24:4-5, 24:11-20; 24:23-26;
        staha yao, 24:30-31;
        walio bora kabisa, 66:11;
        walio fiwa na waume zao, 2:234-235;
        Waumini walio hajiri, 60:10-12;
        Waumini wawe wastahiki, 33:59-62;
  • Wanyama,

  •     huwatumikia watu, 16:5-8;
        nao ni umma, 6:38;
  • Waovu, nyuso zao zinasunukia kwenye Moto, 27:90; 67:22;
  • Wapangao vitimbi, 16:45-47;
  • Wasabii, 5:69; 22:17;
  • "Washirika" wa Mwenyezi Mungu, upotovu, 10:34-35, 10:66; 16:86; 28:62-64, 28:71-75; 30:40; 42:21;
  • Wasia, 2:180;
  • Watoto, 2:233; 42:49-50;
  • Watu wa Pangoni, 18:9-22, 18:25-26;
  • Watu wema, 4:69; wanaelezwa, 51:15-19; 76:5-12; watairithi ardhi, 21:105;
  • Watungao mashairi, 26:224-227; 36:69; 69:41;
  • Waumini,

  •     adabu zao, 24:62-63;
        ahadi kwao, 29:55-57;
        hawamwogopi mwenginewe, 10:67;
        hawaombi kuruhusiwa kwenye mashaka, 9:43-45;
        humcha Mungu, 3:102;
        hutenda walinenalo, 61:2-3;
        mashahidi kwa haqi, 5:8;
        mwenendo, 33:69-71; 48:29;
        Mwenyezi Mungu atawathibitisha, 14:27;
        ni wanao wania na wakapigana Jihadi, 4:95; 9:20-21, 9:88-89;
        vyeo vya utukufu, 8:4;
        waajibu kwa Mwenyezi Mungu, 5:35; 66:8;
        waepuke dhana dhana na upelelezi, 49:12;
        wafanye sulhu, 49:9
        wakiuwana wao kwa wao, 4:92-93;
        wakiwa wanyonge na wanadhiliwa, 4:97-100
        wamkumbuke Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu, 57:16;
        wamtegemee Mwenyezi Mungu, 63:13;
        wanaamrisha mema na wanakataza maovu, 4:104, 4:110:
        wanaelezwa, 8:2-4; 9:71, 9:111-112; 10:104-106; 13:20-24, 13:28-29; 23:1-11, 23:57-61; 28:53-55; 32:15-17; 42:36-39; 49:7, 49:15;
        wanafurahia tijara yao, 9:111; 61:10-11;
        wanahama na wanapigania Dini, 8:75, 8:75 ;
        wanahamiana, 9:71;
        wanahifadhiwa na madhara, 3:111; 5:105;
        wanalindwa na Malaika, 41:30-31;
        wanaombewa na walio kwenye A'rshi, 40:7-9;
        wanaonywa dhidi ya makafiri, 3:118-120, 3:196; 9:23-24; 60:13;
        wanapokea Rehema, Nuru na Msamaha, 57:28;
        wanasaidia na wanapokea wakimbizi, 8:72;
        wanashikamana, 3:103
        wanateswa lakini wataokoka, 85:6-11;
        wasaidizi wa Mwenyezi Mungu, 61:14;
        waseme yaliyo bora, 17:53-55;
        washike Sala na Zaka, 14:31;
        wasikate tamaa au kujitapa, 57:23;
        wasiregee, 47:35;
        wasiwapuuze wanao watolea salamu, 4:94;
        wasome na wasomeshe, 9:122;
        wat'ii' na wasivunjike moyo, 8:46
        watafutiwa maovu yao, 29:7; 47:2;
        watashinda, 8:65-66;
        wathibiti imara, 8:45;
        wawakhiari Waumini kwa urafiki, 4:144; 5:57-58;
        wawe pamoja na wakweli, 9:119;
        wawe warithi kurithi Pepo, 23:10-11;
        wenye kuipenda na kushuhudia Haqi, 57:19
        zimeunganishwa nyoyo zao, 8:63:
  • Wazazi, kuwafanyia wema, 17:23; 29:8; 31:14; 46:15-18;
  • Wema, 2:177, 2:207-208, 2:212; 3:16-17, 3:92, 3:133-135, 3:191-195; 4:36, 4:125; 5:93; 7:42-43; 16:97;

  •     njia ya milimani ya, 90:11-18;
  • Wema,

  •     huendelea kuongezeka, 42:23;
        hulipwa mara kumi, 6:160;
        hulipwa mardufu, 4:40;
  • Wema badala ya uwovu, 23:96; 28:55; 41:34;
  • Wema na Uwovu, 4:79, 4:85;
  • Wenye kurtadi, 47:25;
  • Wizi, adabu yake, 5:38-39;
  • Woga, 3:122;
  • Yaa'qub a.s., 2:132-133; 6:84; 19:49; 21:72;

  •  

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    Y

  • Yaghuth, 71:23;
  • Yahya a.s. (Yohana Mbatizaji),

  •     atukuzwa na Mwenyezi Mungu, 21:90;
        kuzaliwa kwake, 3:39; 6:85;
        mwendo wake na cheo, 19:12-15;
  • Yaqini, 56:95;
  • Yatima, 2:220; 4:2, 4:6, 4:10; 17:34; 4:6;
  • Yau'q, 71:23;
  • Yunus a.s., 4:163; 6:86; 10:98; 37:139-148; (Dhannun) 21:87; 68:48-50;
  • Yusuf a.s., 6:84;

  •     afasiri ndoto ya Mfalme, 12:43-54;
        alivyo watendea nduguze, 12:58-93;
        anunuliwa na Mheshimiwa wa Misri, 12:21;
        athibitishwa kwenye madaraka, 12:55-57;
        azainiwa na mke wa Mheshimiwa, 12:22-29;
        gerezani, 12:35-42;
        hila zake huyo mwanamke, 12:30-34;
        kisa chake, 12:4-101;
        ndoto yake, 12:4-6;
        nduguze wamuuza, 12:19-20;
        uhasidi wa nduguze, 12:7-10;
        vitimbi vyao, 12:11-18;
    wakutana tena ukoo mzima, 12:94-101;
     

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    Z

  • Zaid aliye pewa uhuru, 33:37-38;
  • Zainab binti Jahsh, 33:28; 33:37-38; 33:50;
  • Zainab binti Khuzaima, 33:28; 33:50;
  • Zaituni, kuwa ni Ishara, 23:20; 95:1;
  • Zaka, 2:10, 2:177, 2:179, 2:195, 2:219, 2:254, 2:261-274; 3:134; 30:39; 57:18; 63:10; 64:16-17;
  • Zaka, 2:43, 2:110, 2:177, 2:277; 4:162; 5:55;

  •     maana ya, 51:19;
        wa kupewa, 2:273; 9:60;
  • Zakariya a.s., 3:37-41; 6:85; 19:2-11; 21:90;
  • Zama, 76:1; 103:1-3;
  • Zanjabil, 76:17;
  • Zaqqum, 17:60; 37:62-66; 44:43-46; 56:52;
  • Zinaa, 17:32; 24:2-3, 4-10;


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    Orodha ya Sura
    Chagua Sura:
    Faharasa

    Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
    Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani