FAHARASA N-S  

"FAHARASA"


A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


N

  • Nafsi, haichukui zaidi ya kiasi yake, 2:286; 23:62;

  •     iliyo tulia, 89:27;
        inayo amrisha maovu, 12:53; 20:96;
        inayo jilaumu, 75:2
        jukumu, 3:30; 74:38;
        kuonja mauti, 21:35;
        ndiyo inayo ingia Peponi, si mwili, 89:27-30;
        yatendewa haki, 16:111;
  • Nafsi iliyo harimishwa kuuwawa, 17:33;
  • Ndege, 67:19;
  • Ndoa,

  •     bila ya kuingia harusi, 33:49;
        halali kwa wangapi, 4:3;
        ikiwa huna cha kumwolea Muumini aliye muungwana, 4:25;
        mahari yasirudishwe (ikiwa t'alaka), 4:20-21;
        mke akikhofu maonevu au kutupwa, 4:128;
        na wanawake wa Kiyahudi na Kikristo, 5:5;
        na washirikina au watumwa, 2:221;
        shuruti za Mtume s.a.w., 33:50-52; 33:28;
        ukikhofu khasama, 4:35;
        usimtupe mwanamke, 4:129;
        Wake za Mtume s.a.w., 33:28-29, 33:50-52; 33:28;
        wasio faa kuwaoa, 4:22-24;
        wasioweza kuoa, 24:33;
        ya walio masikini, 24:32;
        ya wazinifu, 24:3;
  • Ngamia jike, Ishara kwa Thamud, 7:73; 17:59; 26:155-158;
  • Ngawira, 8:1, 8:41; 48:15;

  •     ikiwa bila ya kupigana, 59:7-8;
        kugawanya ikiwa baada ya kupigana, 8:41;
  • Nidhamu, 3:152; 61:4;
  • Njaa katika Makka, 23:75; 44:10;
  • Njia, 1:6; 42:52-53; 90:10-18;
  • Njia Iliyo Nyooka, 1:6; 6:153;
  • Nuh'u a.s., 6:84; 7:59-64; 10:71-73; 11:25-49; 21:76-77; 23:23-30; 25:37; 26:105-122; 29:14-15; 37:75-82; 51:46; 54:9-15;

  •     mke khaini, 66:10;
        mwanawe mwovu hakuokoka, 11:45-47;
  • Nuru,

  •     iliyo dhaahiri, 4:174;
        inaletwa na Mwenyezi Mungu ili Waumini wende sawa, 57:28;
        inatangulia na kuwa nao Waumini, 57:12-15; 66:8;
        mfano wa, 24:35-36;
        na kiza, 6:1;
        ya Mwenyezi Mungu, hawaioni makafiri, 83:15;
  • Nyama mwitu wasiuliwe ndani ya ardhi takatifu, 5:94-96;
  • Nyota, 7:54: 16:12, 16:16; 22:18; 37:6-10; 67:5; 77:8; 81:2; 82:2;
  • Nyumba, adabu za kuingia, 24:27-29;


  • A B C D E F G H J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    O
  • Onyo kabla ya kuteketezwa, 17:16; 39:16


  • A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    P

  • Pango la Thaur, 9:40;
  • Pepo,

  •     Bustani, amani, hapana machofu, 15:45-48; 35:33-35; 36:55-58; 37:41-49; 39:20, 39:73-75; 42:22;
        Bustani za milele, hapana upuuzi, 19:61-63; 32:19
        haitabaki chuki nyoyoni, 7:43;
        hakuna la kukhofu wala kuhuzunisha, 43:68-73; 44:51-57;
        kufuzu kukubwa, 5:119;
        kuwa ni Bustani, kuwa ni kuwa karibu na Mwenyezi Mungu, 3:15, 3:198;
        kwa vitendo vyema, 4:124;
        maamkio ya huko ni "Salama", 56:88-91;
        mfano wa Bustani na mito, ni Radhi ya Mwenyezi Mungu, 47:15;
        rehema ya Mwenyezi Mungu, na radhi, 9:21-22, 9:72;
    wake walio takasika, na vivuli, 4:57;

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    Q

  • Qaarun, 28:76-82; 29:39;
  • Qibla, 2:142-145, 2:149-150;
  • Qiyama,

  •     kama kufumba na kufumbua, 16:77; 54:50;
        Khabari Kuu, 78:1-5;
        kikaribu, 54:1-5; 78:40;
        kitakuja kwa ghafla, 7:187; 36:48-50;
        lazima kitakuja, 6:51; 6:128; 34:3-5; 40:59; 51:5-6, 12-14; 52:7-10; 56:1- 7; 64:7-10; 95:7;
        Saa aijua Mwenyezi Mungu tu, 33:63; 67:26; 79:42-46;
        wa mbele kwa Imani wa karibu zaidi kwa Mwenyezi Mungu, 56:11-26;
        wakanyao, 107:1-7;
        watu wa mkono wa kulia, 56:27-40;
        watu wa mkono wa kushoto, 9:41-56;
        watu watagawanywa mafungu matatu, 56:7i-56;
  • Qur'ani,

  •     Aya za msingi na za mifano, 3:7; 11:1;
        bishara na onyo, 17:9-10;
        hadithi nzuri kabisa iliyo wafikiana, 39:23;
        haina kwenda upogo, 18:1-2;
        haiwezekani kuletwa mfano wake, 2:23; 10:38; 11:13; 17:89;
        hishima inayo stahiki kwake, 7:204-206;
        ifuate na utende yaliyo sawa, 6:155;
        imeteremshwa kidogo kidogo, 17:106; 25:32; 76:23; 87:6-7;
        ina ushahidi wake wenyewe, 29:47-49;
        inaelezwa, 13:31, 36-37; 14:1; 56:77-80;
        inaondoa makindano ya Waisraili, 27:76;
        inawafunza wanaadamu, 39:41; 80:11-12;
        inaweka mambo wazi, 15:1; 25:33; 26:2; 27:1; 28:2; 36:69-70; 43:2;
        ipokewe kwa unyenyekevu, 59:21;
        isome, na us'ali, 29:45; 73:4;
        jaribu kwa hakika kuifahamu, 47:24;
        katika kurasa tukufu, 80:13-16;
        Kitabu cha Hikima, 10:1; 31:2; 36:2;
        kwa Kiarabu, 12:2; 13:37; 41:44; 42:7; 43:30;
        Kweli inayo toka kwa Mwenyezi Mungu, 32:3; 35:31;
        Lauh'un Mah'fudh, Ubao Ulio hifadhiwa, 85:21-22;
        lugha yake ni Kiarabu safi 16:103;
        mafunzo, 18:2-4; 19:97; 20:2-7; 26:210-220;
        Makafiri wanaikataa, 84:20-25;
        Mwenyezi Mungu ndiye aliye ifundisha, 55:1-2;
        Mwenyezi Mungu shahidi, 6:19;
        na makafiri, 17:45-47;
        nyepesi, 19:97; 44:58; 54:17, 54:22, 54:32, 54:40;
        onya kwayo, 50:45;
        poza na rehema, 17:82;
        Risala kwa walimwengu wote, 81:26-29;
        sababu ya kuteremshwa, 16:64-65;
        Ufunuo wa Mwenyezi Mungu, 6:92; 17:105-107; 27:6; 45:2;
        ujumbe ule ule kwa Manabii walio tangulia, 41:43; 43:44-45;
        ujumbe ulio teremshwa kwa Wah'yi (Ufunuo), 4:82; 6:19;
        upotovu haufikilii, 41:41;
        uwongofu na rehema, 31:3;
        vipi isomwe na kuzingatiwa, 2:121; 75:16-18;
        yaeleza kwa mifano, 17:89; 18:54; 39:27;
  • Quraidha, Bani, (kabila ya Mayahudi), 33:26-27;
  • Quraish, 54:43-46, 54:51; 106:1-4;

  •   

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    R

  • Rafiki, 3:28;
  • Rahani, 52:21; 74:38;
  • Ramadhani, 2:185;
  • Riba, 2:275-276; 2:278-280; 3:130;
  • Rindika, 102:1-4
  • Riziki, ya kula na ya maana, 10:59; 16:73; 19:62; 42:12; 51:57-58; 67:21;
  • Roho, 17:85-87; 40:15; 42:3, 42:7, 42:51-53;
  • Roho, 70:4; 78:38; 97:4;

  •     Mwenyezi Mungu huwapa nguvu Waumini kwayo, 58:22;
        takatifu, ilimpa nguvu Nabii Isa a.s. , 2:87, 2:253;
        ya Mwenyezi Mungu kapuliziwa mwanaadamu, 15:29;
        ya ufunuo, wah'yi, 17:85-86,
      

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    S

  • S'afaa na Marwa, 2:158;
  • S'ala, 1:1-7; 2:238-239; 3:8, 3:26-27, 3:147, 3:191-194; 4:43; 5:6; 11:114; 17:78-81; 23:118; 50:39-40; 52:48-49; 73:1-8, 73:20;

  •     katika safari au katika khatari, 4:101-104;
        kwa ajili ya makafiri, 9:113-114;
        ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu peke yake, 13:14-15;
        shikeni S'ala, 2:110;
  • S'ala Tano za Faridha, 11:144; 17:78-79; 20:130; 30:17-18;
  • S'alih, 7:73-79; 11:61-68; 26:141-159; 27:45-53;
  • Sabaa, 27:22; 34:15-21;
  • Sabato, Jumaamosi, walio ivunja, 7:163-166; 16:124;
  • Safari duniani, 6:11; 22:46; 27:69; 29:20-22; 30:9, 30:42; 35:44; 40:21, 40:82; 47:10;
  • "Salama", kiamkio cha Wema, 7:46; 10:10; 14:23; 19:62; 36:58;
  • Salsabil, 76:18;
  • Shet'ani, amefukuzwa, kalaaniwa, 3:36; 15:17; 16:98;
  • Shua'ib a.s. 7:85-93; 11:84-95; 29:36-37;
  • Sijjin, 83:7-9;
  • Siku, 7:54; 22:47; 32:4-5; 41:12; 70:4;
  • Siku ya Hukumu,

  •     ahadi zitatimizwa, 21:97-103;
        Barugumu lapulizwa, vitendo vyapimwa, 23:101-104;
        dunia itabadilika, watu watakusanywa, 18:47-49;
        furaha kwa waja wa Mwenyezi Mungu, 37:40-61;
        furaha na amani kwa walio wema, 36:55-58;
        haki itatendeka, 36:51-54; hapana maombezi ila kwa idhini, 20:109;
        hapana utetezi; haki na kweli tu, 40:18-20;
        ibada ya uwongo itakashifiwa, 25:17-19;
        jeuri ya watendao maovu, 37:33-36;
        khitilafu kubwa baina ya wema na wapotovu, 37:88-102;
        khitilafu za kimadhehebu zitasawazishwa, 19:37-39;
        majuto ya watendao maovu, 25:27-30;
        makaburi yatafunuka, 70:43-44; 100:9-11;
        malipo ya ukamilifu ni hapo tu, 3:185;
        malipo ya uovu, 37:37-39;
        marafiki watakuwa maadui, isipo kuwa watendao mema, 43:66-67;
        mbingu zitachanwa, Malaika watateremka, Ufalme wote wa Mwenyezi Mungu, 25:25-26;
        mbingu zitakunjwa kama karatasi, uumbaji mpya, 21:104;
        mbingu zitakuwa kama shaba iliyo yayuka, rafiki hamjui rafiki, 70:8, 70:18;
        mitetemeko ya kutisha, watu kama walio lewa, Ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, 22:1-2;
        Mizani za uadilifu, 21:47;
        Mti wa Zaqqum, 37:62-68;
        Sauti ya Hukumu, 23:105-111;
        Siku ya Kupambanua, 30:14-16; 37:22-23;
        tarumbeta litalia, watu watasongana kama mawimbi, 18:99-101;
        vitisho kwa waovu, si kwa wema, 27:83-90;
        wakati utaonekana mfupi, 23:112-115;
        wakosefu watakata tamaa, hapana wa kuwaombea, 30:12-13;
        walio wema hawana khofu, 20:112;
        wanao kanya watafufuliwa vipofu, 20:124-127;
        wanao shika uwongo wataangamia, wema watapata Rehema, 45:27-35;
        waovu wasailiwa, kutupiana malawama, 37:22-23;
        watamfuata mwenye kuwaita, husikii ila mchakato, 20:108;
        watendao maovu wafuata nyayo za baba zao, 37:69-74;
        wenye kukanya Ujumbe watabeba mzigo mwovu, 20:100-101;
        wenye madhambi watakuwa mashakani, 20:102-104;
  • Sinai, 29:52; 95:2;
  • Subira, na kuvumilia, 2:45, 2:153; 3:186, 3:200; 10:109; 11:115; 16:126-127; 20:130-132; 40:55, 40:77; 46:35; 50:39; 70:5; 73:10-11;
  • Suleiman a.s. 2:102; 6:84; 21:79, 21:81-82; 27:15-44; 34:12-14; 38:30-40;

  •     na Balqis, Malkia wa Sabaa, 27:22-44;
        na Hud-hud, 27:22-26;
        na sisimizi, 27:18-19

    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z


    Orodha ya Sura
    Chagua Sura:
    Faharasa

    Ikiwa una ushauri au maoni juu ya tarjuma hii, andika kwa anwani hii qurani-tukufu@geocities.com 
    Copyright © 22 August 1997, Sheikh Ali Muhsin Al Barwani