hujitoma kiwenda wazimu, 70:36-39;
huleta ubishi usio na maana,
18:56-57;
hutumia kwa sababu isiyo na maana,
8:36;
ibada zao upuuzi, 8:35;
jeuri yao, 19:73-82;
35:43; 48:25-26;
kama katika kiza kilicho funga,
24:40;
kwenye vita watarudi nyuma,
48:22-23;
msiwafanye wendani, lakini watendeeni wema na haki,
60:1-9;
taabu yao bure, 18:102-106;
vitendo vyao kama sarabi,
24:39;
vitimbi vyao bure, 8:30;
waelezwa, 9:73-78;
14:3;
wajitapa na wabaguana,
38:2-14;
wakitubu watasamehewa yaliyo pita,
8:38; 9:11;
wana mawazo ya upuuzi,
52:35-44;
wanabisha Aya za Mwenyezi Mungu,
40:4-6;
wanadharau ufunuo, 8:31;
wanaichukia Kweli, 43:78;
wanakanya adhabu, 8:32-35;
wanasaidiana wao kwa wao,
8:73;
watabeba mizigo miwili, 16:25;
watafunikwa na fedheha,
16:27;
watamani lau wangeli amini,
15:2;
watasutana Siku ya Qiyama,
34:31-33;
wavunja makubaliano, 8:56;
hutumwa kuwaonya watu,
16:2;
huwaombea msamaha wote walio duniani,
42:5;
Jibril na Mikail, 2:97-98;
kuwa ni wajumbe wenye mbawa, 35:1;
kuwalinda watu, 82:10-12;
kwenye ujumbe wa haqi na rehema,
79:1-5;
makafiri huwapa majina ya kike Malaika,
53:2-7;
na Roho hupanda kwenda kwa Mwenyezi Mungu,
70:4;
Siku ya Qiyama, 25:25;
wakosefu na Malaika, 25:21-22;
wanamsemeza Mwenyezi Mungu,
2:30-34;
wasajili, 50:17-18;
Mariamu, (mama wa Nabii Isa a.s.), kalinda uke wake,
21:91; 66:12;
kamleta mtoto kwa watu wake,
19:27-33;
katika kujifungua kwa uzazi,
19:23-26;
kuzaliwa kwake, 3:35-37;
Malaika kumwambia atamzaa Nabii Isa a.s.,
3:42-51; 4-156; 19:16-21;
Mifano, anaye poromoka akanyakuliwa na ndege n.k. 22:31;
asiye sikia ila sauti tu,
2:171;
buibui, 29:41;
Bustani walio ahidiwa wema,
47:15;
bustani ya starehe, 13:35;
bustani yenye udongo wa rutba,
2:265-266;
bwana mmoja na mabwana wengi,
39:29;
jabali lisio ota kitu,
2:264;
jivu linalo peperushwa na upepo,
14:18;
kamba, 3:103;
kipofu na kiziwi, 11:24;
kiza cha baharini, 24:40;
kumea mbegu, 48:29;
maji ya mto yakididimia,
67:30;
mazigazi, (sarabi au mangati), 24:39;
mbwa mwenye kutoa limi lake,
7:176;
mja asiye jiweza kitu, na mwenye kutenda kheri,
16:75-76;
mji ulio kufa, 2:259;
Mji ulio neemeshwa lakini hauna fadhila,
16:112-113;
mlima unao jidhalilisha,
59:21;
mti mbaya, 14:26;
mti mzuri, 14:24-25;
mtu aliye washa moto, 2:17-18;
mvua inayo pita, 18:45-46;
mvua na kukua mimea, 57:20;
mvua na mdharuba, 10:24;
mwanamke anaye tatua matamvuo,
16:92;
Nuru, 24:35-36;
nzi, 22:73;
punda, 62:5;
punje ya nafaka, 2:261;
ukingo wa shimo linalo bugujika,
9:109-110;
upepo wa baridi, 3:117;
wakaazi wa mji, 36:13-32;
washirika, 30:28;
watu wa bustani, 68:17-33;
watu wawili, anaye jivunia mali, na anaye mt'ii
Mwenyezi Mungu, 18:32-44;
wingu lilio beba mvua,
2:19-20;
Msamaha wa Waumini kuwasamehe Watu wa Kitabu,
2:109;
kuwa wa mbele kuutafuta,
57:21;
Malaika wanawaombea msamaha wote wa duniani,
42:5;
Mwenyezi Mungu anasamehe dhambi zote,
39:53;
Mwenyezi Mungu anawasamehe wanao epuka madhambi
makubwa, 53:32;
na kupatana, 42:40;
samehe hata ukikasirika,
42:37;
shikamana nao, na utende mema, 7:199;
wa Mwenyezi Mungu kwa dhambi zisio kuwa za kumshirikisha
Mwenyezi Mungu, 4:48, 4:110, 4:116;
Waumini wawasamehe makafiri,
45:14;
akaikunjua ardhi na akaeneza matunda, nafaka, na
mimea mingine, 55:10-12;
akaweka uadilifu, 55:7-9;
ameiwekea nidhamu mbingu kwa ukamilifu,
79:27-28;
ameumba mbingu na ardhi na vitu vyao vyote,
31:10;
amevijaalia vitu vyote vikutumikieni,
31:20; 36:71-73;
45:12-13;
anaitikia na anazidisha fadhila,
42:26-28;
anakuendesheni nchi kavu na baharini,
10:22;
anapokea toba na anasamehe,
42:25;
ardhi na mbingu, 41:10-12;
51:47-48;
bahari na vyombo vya baharini,
16:14; 17:66;
eneo la ardhi, na maji yake, na malisha yake, na
milima, 79:30-33;
hapana wa kuzuia rehema yake,
35:2-3;
hazina hisabu, 14:34;
16:18;
huanzisha uumbaji, na hurejeza, na huruzuku,
27:64;
huleta mvua akahuisha ardhi,
29:63;
humkidhia haja za kila kiumbe,
55:29 humtosheleza mhitaji, 93:8;
humuitikia mja, na humrithisha ardhi,
27:62;
huongoza kizani, na pepo zaleta bishara,
27:63;
huruzuku viumbe vyote,
29:60-62;
husuluhisha mambo yao,
55:31;
kamuumba mwanaadamu na akamfunza kusema,
55:3-4;
katika kuzaliwa kwetu, na viungo vyetu, na mapenzi
yetu, 16:77-78;
katika uhai na mauti,
10:31, 10:56;
kudhalilishwa ardhi na bahari kwa manufaa yetu,
22:65;
kukupanulia kifua chako, n.k.
94:1-4 kuumbwa binaadamu, nasaba na ndoa,
25:54;
kuumbwa mbingu na ardhi na yenye faida kwa mwanaadamu,
27:60-61;
lulu na marijani, 55:29;
maji ya namna mbali mbali,
25:53; 55:19-20;
majumbani kwetu na khuduma wanazo tupa wanyama,
16:80-81;
marikebu, 55:24;
mbingu na ardhi, mvua na uhai,
43:9-11;
milima, mito, barabara,
16:15-16;
mito na maji yanayo chiririka,
67:30;
mkururo wa Manabii walio fuatana,
23:23 n.k.
mvua, mimea na matunda,
16:10-11;
mwongozi wa mwenye kutanga tanga,
93:7;
neema kutoka mbinguni na kwenye ardhi,
23:17-22;
nyama hoa (mifugo), 6:142;
nyama hoa na vitu msivyo vijua,
16:5-8;
nyuki, 16:68-69;
poza, uwongofu na rehema,
10:57;
rehema baada ya shida, 10:21;
uhai, mimea, matunda na chemchem,
36:33-35;
ulinzi wa yatima, 93:6;
upepo na mvua, 25:48-50;
usiku, kiza chake na uzuri wake,
79:29;
usiku na mchana, jua, mwezi na nyota, neema za katika
mbingu na ardhi, 16:12-13;
usiku na mchana na usingizi,
25:47;
uumbaji kwa jozi, marikebu na wanyama,
43:12-13; 51:49;
vivuli na jua, 25:45-46;
zinatolewa njia mbali mbali; yafaa mshukuru,
16:71-73;